Wednesday, August 10, 2016

KWANINI ALLAH HAWEZI KUWA NA MWANA BILA YA MKE?

Ndugu msomaji,
Leo nitawaeleza kwa kutumia aya kwanini Allah wa Waislam hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kufanya tendo la ndoa, nikimaanisha kuwa na mke.
Hebu kwanza tuanze kusoma aya yake kutoka Surat AL An A'am iliyo teremk Makka:
Surat Al An A'am ayat 101. Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
Allah anaye dai kuumba kila kitu na kudai kuwa ni mjuzi wa kila kitu anatutaarifu katika Surat Al An A'am kuwa hawezi kuwa na mwana bila ya kufanya tendo la ndao kwa Mkewe Allat. Huu ni msiba mkubwa sana, maana iweje Mungu mwenye uwezo wa kufanya atakalo sasa anashindwa kuwa na mwana mpaka afanye tendo la ndoa?
Kama kweli Allah aliumba kila kitu, mbona Miti inaweza kuongezeka bila ya tendo la ndoa? http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK9980/
Mbona Seli zako zinazaana au ongezeka bila ya kuwa na Seli Jike na Seli Dume. Wote tunafahamu hii "Mitosis" na stages zake Nne ambazo ni "Prophase" "Metaphase" "Anaphase" na "Telophase". Sasa Allah yeye anadai ndie aliye umba Seli za zetu tena zinazaliana bila ya kuwa an Seli Dume na Seli Jike, lakini cha kushangaza, Allah yeye hawezi kuwa na Mwana bila ya Mke, je, tunawezaje muamini huyu Allah mwenye udhaifu namna hii? https://ghr.nlm.nih.gov/primer/howgeneswork/cellsdivide
Sasa, tumsome Maryamu, je aliweza kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mume?
Maajabu ya dunia, Maryamu anauwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mume, lakini Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mke. Hakika haya ni maajabu makubwa sana, ingawa Allah atadai eti alimpa yeye huo uwezo.
Kama ni kweli, je , kwanini Allah alishindwa kujipa huo uwezo yeye mwenyewe na aweze kuwa na Mwana bila ya tendo la ndoa?

Hebu tuanze kwa kusoma Surat I'mran iliyo teremka Madina:
Surat I’mran 45. Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).
Surat Im'mran 47. Maryamu akasema: Mola wangu Mlezi! Vipi nitampata mwana na hali hajanigusa mwanaadamu? Mwenyezi Mungu akasema: Ndivyo vivyo hivyo, Mwenyezi Mungu huumba apendacho. Anapo hukumu jambo, huliambia: Kuwa! Likawa. http://www.quranitukufu.net/003.html
Maryam anamuuliza Allah, iweje niweze kuwa na Mwana bila ya Mume, Allah anadai kuwa, eti Mwenyezi Mungu hufanya apendalo, kwa kuliambia jambo, kuwa na LIKAWA. Sasa, kama huu uwezo wote ni wa Allah, kwanini anashindw akuutumia kwake yeye mwenyewe na kusema kuwa na Isa Akawa bila ya kuwa na Mama wala Baba?
Hakika Allah ni dhaif na kamwe hakuumba kitu chechote kile. Uthibitisho ni huu hapa, Quran 92 1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa kwa aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Kumbe ndio maana Allah alikiri kuwa, yeye hawezi kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mke. Waswahili wanasema kuwa njia ya mwongo ni fupi. Leo tumesha mgundua Allah anaye apa kwa Aliye umba kiume na kike.
Kama Allah ndie aliye umba kila kitu,
1. Kwanini hawezi kuwa na Mwana bila ya Mke?
2. Kwanini Maryamu aliweza kuwa na Mwana bila Ya Mume?
3. Kwanini Allah anashindwa kutumia uwezo wake anao dai kumpa Maryamu aliye weza kuwa na Mwana bila ya Mume, kwa kupata Mwana bila ya MKE?
Hapa kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu huyu Allah ambaye anaonyesha udhaifu mkubwa sana baada ya kushindwa kupata Mwana bila ya Mme.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
May 1, 2016
www.maxshimbaministries.org

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW