Friday, September 2, 2016

IMAM AKAMATWA KWA KUBAKA MVULANA WA MIAKA KUMI (10) HUKO NIGERIA




Mkuu wa Usalama wa Jimbo la Nasarawa (NSCDC) amemkamata mwalimu wa dini ya Kiislam mwenye umri wa miaka 45 kwa kosa la kubaka mvulana ambaye anadai alikuwa akimfundisha dini huko katika kitongoji cha Lafia.
Imam Shahidu Suleh, ambaye ni Maalim vile vile, amekuwa akimbaka (Almajiri), Okasha Ishaka alisema. Huyo mtoto alisema kuwa, Maalimu alikuwa anambaka kila mara, na alimtishia kumuua, kama angemsema kwenye vyombo vya sheria.

No comments:

If the Bible is corrupted, why does the Quran confirm it? If the Bible is not corrupted, why does the Quran contradict it?

  A CHALLENGE TO THE ISLAMIC UMMAH: THE BIBLE IS NOT CORRUPTED—IT IS THE QUR'AN THAT CONTRADICTS THE PRIOR SCRIPTURES Introduction: The ...

TRENDING NOW