Friday, September 2, 2016

IMAM AKAMATWA KWA KUBAKA MVULANA WA MIAKA KUMI (10) HUKO NIGERIA




Mkuu wa Usalama wa Jimbo la Nasarawa (NSCDC) amemkamata mwalimu wa dini ya Kiislam mwenye umri wa miaka 45 kwa kosa la kubaka mvulana ambaye anadai alikuwa akimfundisha dini huko katika kitongoji cha Lafia.
Imam Shahidu Suleh, ambaye ni Maalim vile vile, amekuwa akimbaka (Almajiri), Okasha Ishaka alisema. Huyo mtoto alisema kuwa, Maalimu alikuwa anambaka kila mara, na alimtishia kumuua, kama angemsema kwenye vyombo vya sheria.

No comments:

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW