Friday, September 2, 2016

IMAM WA MSIKITI ABAKA MVULANA WA MIAKA TISA (9)


Imam Mohammad Rizvan wa kutoka kijiji cha Foundarynagar ameshitakiwa kwa kumbaka mvulana wa miaka 9 (Jina lake limehifadhiwa) amesha shitakiwa na Polisi wa Agra.
Msemaji wa Polisi bwana Shatrunja Signh anasema kuwa Mohammad ameshatikiwa kwa kutumia kifungu cha IPC Section 377 (unnatural offence) na POSCO,"
Mohammad ambaye anafahamika na familia ya mbakwaji, alikuwa namfudisha Quran na lugha ya Kiarabu.

No comments:

The Two Spiritual Lineages in Biblical Theology

Title: The Two Spiritual Lineages in Biblical Theology: A Theological Critique of Islam’s Anthropological and Ethical Framework Abstract:...

TRENDING NOW