Friday, September 2, 2016

IMAM WA MSIKITI ABAKA MVULANA WA MIAKA TISA (9)


Imam Mohammad Rizvan wa kutoka kijiji cha Foundarynagar ameshitakiwa kwa kumbaka mvulana wa miaka 9 (Jina lake limehifadhiwa) amesha shitakiwa na Polisi wa Agra.
Msemaji wa Polisi bwana Shatrunja Signh anasema kuwa Mohammad ameshatikiwa kwa kutumia kifungu cha IPC Section 377 (unnatural offence) na POSCO,"
Mohammad ambaye anafahamika na familia ya mbakwaji, alikuwa namfudisha Quran na lugha ya Kiarabu.

No comments:

"Major Scientific Errors in Islam Regarding the Sun"

By Max Shimba, Servant of Jesus Christ For Max Shimba Ministries Org | April 2, 2016 1. Muhammad and Allah Say the Sun Moves 2. Muhamma...

TRENDING NOW