Thursday, May 4, 2017

ALLAH KAKIRI KWENYE QURAN KUWA YEYE SIO MUNGU


Naam, ngoja nimzike Allah leo kwa kutumia Quran yake dhaifu sana.
Waislam huwa wanaleta hii aya kupinga Uungu wa Yesu, au sio. Hebu tuisome aya kwanza.
Surat Al Maida 116. Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.
SASA NAANZA KUICHAMBUA AYA TARATIIIIB:
1. Allah anasema: NA PALE MWENYEZI MUNGU ATAKAPO SEMA;
Hivi kama kweli Quran ni maneno ya Allah, kwanini asisema na pale NITAKAPO SEMA? Lakini Allah anaonyesha kuwa yeye sie Mwenyezi Mungu. Maana Allah anamnukuu Mwenyezi Mungu.
2. Isa anajibu: WEWE UMETAKASIKA. Isa ATAMJIBU MWENYEZI MUNGU, na sio Allah. Maana Allah alikuwa anamnukuu Mwenyezi Mungu.
3. Wapi Wakristo wanasema kuwa Mama yake Yesu ni Mungu? HUU NI UONGO WA ALLAH. Hakuna aya hata moja kwenye Biblia inasema kuwa Maria mama ya Yesu ni Mungu.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA NA UNAWANYIMA WAISLAM WOTE USINGIZI. NAAM HABARI YA MUJINI NDIO HII. LEO ALLAH KAJISAHAU NA KUMNUKUU MWENYEZI MUNGU.
KUMBE ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW