Friday, July 14, 2017

MSIKITI MPYA WAFUNGULIWA UJERUMANI IMAM NI MWANAMKE

Image may contain: one or more people and people standing


Labda kwa yule ambae hana khabari, huu ni msikiti uitwao Ibn Rushd-Goethe huko Berlin Ujerumani.
Ni msikiti mpya unaojumuisha wanawake na wanaume pamoja.
Juzi ijumaa ndo umefunguliwa rasmi na ibada zitakuwa zinaendelea kwa mtindo huohuo.
Imam wa msikiti huu ni mwanamke kwa jina anaitwa Ani Zonneveld,
Wakati wa ufunguzi wamealikwa baadhi ya viongozi wa kidini wa kiyahudi na kinasara ili kushuhudia rasmi ufunguzi huo.
Aliskika imaam huyo mwanamama akitoa hutbah....
Haya ni masikitiko kwa hakika

No comments:

WAS MUHAMMAD PROPHESIED IN THE BIBLE?

SURAH 61:6 Muslims believe that the coming of Muhammad was foretold in the Bible. For centuries, Muslims have tried to find predictions of t...

TRENDING NOW