Friday, July 14, 2017

BIBLIA INAWAAMBIA HAWA WATOTO, ELIMU NI UZIMA WAO

Image may contain: 3 people, text


Hebu tusome kwanza Biblia.
Mithali 4: 13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Neno la Mungu halikusema kuwa hawa Mabinti waache Shule kisa sasa wanaitwa wazazi la hasha. Neno la Mungu limetia mkazo kuwa TUIKAMATE ELIMU, maana ni UZIMA WETU.
Kuwanyima ELIMU WAZAZI hawa ni kuwanyima UZIMA na kwenda kinyume na Neno la Mungu.
Mithali 4: 1 Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.
Hayo ndio mausia kutoka Biblia Takatifu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

Qur'anic Contradiction? A Flood During the Time of Moses

Qur'anic Contradiction? A Flood During the Time of Moses By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute Introduction One of the recu...

TRENDING NOW