Friday, July 14, 2017

BIBLIA INAWAAMBIA HAWA WATOTO, ELIMU NI UZIMA WAO

Image may contain: 3 people, text


Hebu tusome kwanza Biblia.
Mithali 4: 13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Neno la Mungu halikusema kuwa hawa Mabinti waache Shule kisa sasa wanaitwa wazazi la hasha. Neno la Mungu limetia mkazo kuwa TUIKAMATE ELIMU, maana ni UZIMA WETU.
Kuwanyima ELIMU WAZAZI hawa ni kuwanyima UZIMA na kwenda kinyume na Neno la Mungu.
Mithali 4: 1 Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.
Hayo ndio mausia kutoka Biblia Takatifu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

The Meaning of John 17:3 in Christian Theology

The Meaning of John 17:3 in Christian Theology: A Response to Muslim Claims Regarding the Divinity of Jesus Christ By Dr. Maxwell Shimba ...

TRENDING NOW