Sunday, September 10, 2017

SHETANI ANAWAPENDA SANA WAISLAM

Image may contain: one or more people and text
Mfikirie Yesu asiyekuwa na Dhambi
Tofauti na Muhammad, aliye jiita nabii bila ya kufanya unabii wowote ule.
Yesu alitimiza mamia ya unabii na maana zake. Yesu hakuwahi kusamehewa dhambi kwasababu hakuwa na dhambi wala hakuwai tenda dhambi kama Muhammad nabii wa Allah.
Yesu hakuwahi kuua, wala kutishia maisha ya msafiri yeyote yule.
Alikuwa na kiwango cha juu sana cha uadilifu (hakuruhusu ufanyaji tendo la ndoa kwa kutumia nguvu)
Yesu aliahidi kulipa adhabu ya dhambi zetu, aliteseka na kufa kwa ajili yako, na hana kaburi, kwani alifufuka kutoka katika wafu.
Wakristo hawasemi kuhusu Yesu kuwa: "amani ya Mungu na iwe juu yake", Yesu ndiye mfalme wa amani; amani ya Mungu ipo juu yake. Lakini, tumaini langu ni kuwa utaweza kujua namna ya kuona kuwa amani na upendo vya Yesu vinaishi moyoni mwako.
SASA TUMSOME NABII WA ALLAH AITWAYE MUHAMMAD
Muhammad Mwenye Mafanikio:
Muhammad pamoja na watu wake waliteka nyara misafara ya wafanya biashara na wasafiri mbalimbali.
Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 37 sura ya 8 na.495 uk.280 inasema "wakati Allah alipomfanya mtume kuwa tajiri kutokanana na ushindi" 1/5 ya mateka ya vita iliwekwa katika hazina na Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 5 sura ya 401 na.2348 uk.519 inasema familia ya Muhammad ilikuwa na hisa ndani yake.
Utekaji nyara wa mali za watu wa kwanza kufanywa na Waislam ulijulikana kama Nakha la Raid. Wakati wa mwezi wa kusimamisha vita kwa muda, wafuasi wake waliushambulia msafara kwa kuuvamia na kuua mtu mmoja, na kuwafanya watu waliosalia kuwa watumwa, na kuchukua nyara.
Muhammad mwenyewe aliongoza uvamizi wa pili pale Badr. Muhammad aliongeza utajiri wake kwa kuyashambulia makazi ya Wayahudi ya Khaibr. Yeye na wafuasi waliokuwa waaminifu kwake walijitwalia nyara na wake (Je Muhammad alihitaji mke mwingine?) wa Wayahudi wanaume 700-1000 wa kabila la Banu Quraiza waliowakata vichwa baada ya kujisalimisha.
Ndio maana nasema Shetani anawapenda sana Waislam.
Ili kuweza kufahamu chimbuko halisi la Uislam inafaa kuyafahamu mazingira ya Uarabuni kabla ya Uislam, mtu aliyeitwa Muhammad na historia ya mwanzo ya Uislam. Elimu kale (akiolojia), Kurani na Hadithi vina mengi ya kusimlia ambayo watu wengi wanaweza kuwa hawajui.
SHETANI ANAWAPENDA SANA WAISLAM NDIO MAANA AKASILIMU NA KUWA MUISLAM:
Ni bahati mbaya kwamba Adamu na Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)
Kama unapenda kuwa na Shetani basi bakia hukohuko kwenye Uislam maana Shetani alisha silimishwa na Muhammad na Shetani anaupenda Uislam na ni Muislam.
Kama hupendi uwe na Shetani maishani mwako basi mpokee Yesu ambaye anakupenda na amekutayarishia maisha mazuri baada ya kifo.
Uchaguzi ni wako, kumpenda shetani ambaye ni Muislam au kumkataa Shetani ambaye anawapenda Waislam.
Karibu kwa Yesu.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW