Sunday, September 10, 2017

TUMUOMBEE UPONYAJI TUNDU LISU

Image may contain: 1 person
Weka itikadi au udini pembeni na mwombee Mh Tundu Lisu uponyaji.
Baba katika jina la Yesu, neno lako liniasema katika Isaya 41:10-12 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu. Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia. Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa kama kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.
Tunaomba uponyaji kwa Mhe Tundu Lisu katika Jina la Yesu.
Amen.

No comments:

THE LIE OF THE ISLAMIC RELIGION

  THE LIE OF THE ISLAMIC RELIGION We believe that when you carefully follow this topic, you will obey the word of the true God, live it, and...

TRENDING NOW