Friday, July 14, 2017

YESU KRISTO ALIKUWA NA UTUKUFU WA MUNGU KABLA YA DUNIA KUUMBWA

Image may contain: text


Yohana 17:5 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
"Na sasa Baba nipe mbele yako ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe hata kabla dunia haijaumbwa."
Unapo isoma Biblia kwa context zake, lazima utakuwa Mkristo papo hapo. Lakini ukiisoma Biblia kwa akili zinginze za ajabu ajabu, utabakia mfia dini na wala huto urithi ufalme wa Mungu.
Yesu anasema:
1. Baba nipe utukufu nilio kuwa nao pamoja nawe hata kabla ya dunia kuumbwa.
2. Yesu anakiri kuwa alikuwa na UTUKUFU WA MUNGU.
3. Yesu anakiri kuwa alikuwepo kabla ya DUNIA KUUMBWA.
4. Yesu anakiri kuwa Baba yake na yeye wana UTUKUFU ULE ULE.
5. Yesu anakiri kuwa YEYE NA BABA YAKE waliishi kabla ya dunia kuumbwa.
SASA KWANINI NISIMFUATE YESU MWENYE UTUKUFU WA MUNGU NA ALIISHI HATA KABLA YA Kuubwa DUNIA?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW