Wednesday, November 16, 2016

UISLAM WAPIGWA MARUFUKU ANGOLA

Waziri wa Utamaduni, Rosa Cruz alisema kuwa, Uislam haujaruhusiwa na wala pewa ruhusa kishearia na Wizara ya Sheria na Haki za Binadamu nchini Angala.
Waziri Rosa alitwakumbusha wananchi wa Angola kuwa Wakristo ni Asilimia 95 nchini humo na nchi yao inautamaduni wa kikristo. Nukuu "We must remember that the country is made up to 95% Christian and has a rather Christian culture".
Hivyobasi, Serikali ya Angalo imeamua kuivunja Misikiti yote nchini humo ambayo ilijengwa kwa kuvunja Sheria za nchi. Misiki nchini humo ni haram na hairuhusiwi.
Kwa habari kamili na ya kina ingia hapa: http://ireport.cnn.com/docs/DOC-1063888

No comments:

If the Bible is corrupted, why does the Quran confirm it? If the Bible is not corrupted, why does the Quran contradict it?

  A CHALLENGE TO THE ISLAMIC UMMAH: THE BIBLE IS NOT CORRUPTED—IT IS THE QUR'AN THAT CONTRADICTS THE PRIOR SCRIPTURES Introduction: The ...

TRENDING NOW