Friday, July 14, 2017

PAKISTAN: MUHAMMAD AL-WAHABI AHUKUMIWA KIFO KWA KUKATWA KICHWA BAADA YA KUTOA USHUZI MFULULIZO AKIWA MSIKITINI WAKATI WA MFUNGO WA RAMADHAN


Image may contain: 1 person, beard and closeup

Gazeti la WorldNews Daily (h/t Phil S): Hakimu wa Pakistan amemuhukumu kifo bwana Muhammad Al-Wahabi pichani, baada ya kutoa ushuzi/kujamba kwa mfululizo wakati wa mfungo wa ramadhani. Mtuhumiwa huyu, alifukuzwa mara 17 kutoka misikiti 6 tofauti kwa tabia hii ya kujamba kwa mfululizo wakati wa swala msikini.
Hakimu alimpa uchaguzi mtuhumiwa Muhammad Al-Wahabi mwenye miaka 33 achague aina ya kifo cha kuchinjwa au kupigwa mawe mpaka kifo.
Mtuhumiwa anadai kuwa yeye anasumbuliwa na [chronic flatulence, “a rare medical condition”]. Mawakili wote walikataa kumsaidia katika kesi hii, kwa kuogopa kuwa na wao wataingizwa kwenye hukumu ya kifo.
*******SHETANI ANAWAPULIZA WAISLAM MSIKITINI********
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Kwa habari kamili ingia kwenye hii tovuti:
http://www.barenakedislam.com/…/pakistan-man-is-sentenced-…/

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW