Friday, July 14, 2017

JE, UNAJUA KWANINI MUHAMMAD ALIFIA KIFUANI KWA AISHA WAKATI WANAJAMIIANA?

Image may contain: one or more people and people sitting


Najua unaweza sema namsingizia huyu Muhammad Nabii wa Allah, lakini vitabu vyao vyote vinakiri kuwa, Muhammad alifia kifuani mwa Aisha.
Swali la kujiuliza, nini kilitokea mpaka Muhammad akafia kwenye kifua cha Aisha?
Mwana Historia ibn Ishaq – aliyefariki mwaka 767/773 BK, 145/151 BH
"Yahya b. Abbad b. Abdullah b. al-Zubayr kutoka kwa baba yake aliniambia kuwa alimsikia Aisha akisema: "Mtume alifia kifuani pangu wakati wa zamu yangu: Sijamkosea mtu yoyote yule kuhusiana naye. Ilikuwa ni kwa sababu ya kutokujua kwangu na udogo uliozidi kiasi hata Mtume akanifia kifuani mwangu."
(Guillaume, A., The Life of Muhammad, tafsiri ya Ibn Ishaq's Sirat Rasul Allah, Oxford University Press, Karachi, Pakistan, uk. 682). A’isha alisema kuwa alikuwa kijana sana wakati Muhammad anakufa.
Kufuata na Sahihi Hadith hapo juu, inaonyesha kuwa, Muhammad alikuwa kwa Aisha na ilikuwa zamu ya Aisha kujamiiana na Muhammad.
Aisha anajihami kwa kusema hajamkosea mtu yeyote yule, labda kwababu alikuwa analaumiwa kwa kumuua Muhammad wakati wa tendo la ndoa.
Aisha vile vile kwenye hiyo Sahih hadith anasema kuwa: Ni kwasababu ya kuto kujua kwake ndio Muhammad akafia kwenye kifua chake. Je, huku kuto kujua kwa Aisha ni kupi, au Aisha alimpa spidi kali ya mahaba na Muhammad akashindwa kazi na kufia wakati wa kujamiiana?
Mimi sita wajibia Waislam, ila habari ndio hii. Muhammad alifia kifuani mwa Aisha wakati wa kujamiiana.
Shalom,

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW