Friday, July 14, 2017

WAISLAM WA SIASA KALI WA AL SHABAB WAMEWACHINJA NA KUWAUWA WAKENYA TISA

Image may contain: one or more people

Kikundi cha Kiislam chenye mwenendo wa kigaidi na chenye ushirikiano na Al Qaeda, leo Jumamosi ya tarehe 8 Mwezi wa Saba 2017 kimewauwa wananchi tisa wa Kenya kwa kuwachinja vichwa vyao.
Mauwaji hayo yaliyotokea katika kitongoji cha Pandaguo, sehemu ambayo mapigano ya Al Shahab yaliendelea kwa siku tatu mfululizo.
Bwana James Ole Seria ambaye ni kiongozi wa Polisi amesema kuwa, wapiganaji 15 wa Shabab walivamia Kijiji cha Jima, Lamu County, na kuwateka Wanaume hao na kuwachinja kwa kutumia visu vikali.
Kwa habari kamili ingia hapa:

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW