Friday, July 14, 2017

UKIMWI UMESHAMIRI KATIKA KUNDI LA ISIS - MAGAIDI WA KIISLAM


Image may contain: 1 person, standing and outdoor

AIDS Is Now Running Rampant Amongst ISIS Fighters And Its Getting So Bad That They Even Set Up An AIDS Center
Ugonjwa wa Ukimwi umeshamiri na kushika kasi katika kundi la kigaidi la ISIS. Inasemekana, kuathirika na kukuwa kwa ugonjwa huu kumetokana na tabia mbaya ya wapiganaji hawa wa Kiislam wa kuchangia wanawake na ngono ya wenyewe kwa wenyewe.
Mwandishi wa habari wa kutoka gazeti la Kiarabu alikwenda Shaddadi kusini mwa Hasaka, na kuchunguza ukweli huu wa kuathirika kwa UKIMWI kwa wapiganaji wa ISIS. Habari zainasema kuwa, wengi wa Wapiganaji wa ISIS wameathirika na UKIMWI.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW