Friday, July 14, 2017

UKIMWI UMESHAMIRI KATIKA KUNDI LA ISIS - MAGAIDI WA KIISLAM


Image may contain: 1 person, standing and outdoor

AIDS Is Now Running Rampant Amongst ISIS Fighters And Its Getting So Bad That They Even Set Up An AIDS Center
Ugonjwa wa Ukimwi umeshamiri na kushika kasi katika kundi la kigaidi la ISIS. Inasemekana, kuathirika na kukuwa kwa ugonjwa huu kumetokana na tabia mbaya ya wapiganaji hawa wa Kiislam wa kuchangia wanawake na ngono ya wenyewe kwa wenyewe.
Mwandishi wa habari wa kutoka gazeti la Kiarabu alikwenda Shaddadi kusini mwa Hasaka, na kuchunguza ukweli huu wa kuathirika kwa UKIMWI kwa wapiganaji wa ISIS. Habari zainasema kuwa, wengi wa Wapiganaji wa ISIS wameathirika na UKIMWI.

No comments:

WAS MUHAMMAD PROPHESIED IN THE BIBLE?

SURAH 61:6 Muslims believe that the coming of Muhammad was foretold in the Bible. For centuries, Muslims have tried to find predictions of t...

TRENDING NOW