Friday, July 14, 2017

YESU KRISTO NI MUNGU MWENYE NGUVU

Image may contain: text


Isaya 9: 6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Biblia hakika imekamilika na haina shaka ndani yake. Imemtabiri Yesu miaka 520 KABLA YA KUJA DUNIANI.
Biblia haibabaishi wala kosea na ndio maana Mitume wake waliotumwa na Yesu mwenyewe waliweza kumtabiri mapema kabla ya kuja kwakwe.
Barikiwa sana na endelea kumfuata Yesu Kristo ambaye ni MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE NA MFALME WA AMANI.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW