Wednesday, April 12, 2017

KUMBE MUHAMMAD NI MCHUNGAJI WA WAISLAM

Image may contain: one or more people and hat
1. Muhammad ni Mchungaji "Quran 2:104 Tafsiri ya Sheikh Abdulla Saleh Farsy"
2. Wachungaji ni Mbwa "Isaya 56: 10"
Ndugu msomaji wangu,
Bila ya kupoteza muda tuanze kusoma Sura Al Baqara 2:104” nayo inasema: Enyi mlio amini! Msiseme: "Raa'ina", na semeni: "Ndhurna". Na sikieni! (amri) Na makafiri watapata adhabu inayoumiza,http://www.quranitukufu.net/002.html
Najua wengi wenu hamfahamu nini tafsiri ya hii aya, basi SASA TUSOME ufafanuzi wa aya hiyo katika Tafsiri ya Sheikh Abdulla Saleh Farsy, ufafanuzi nao unasema.
Quran 2:104 Waislamu walikuwa wakati mwingine wakimwambia Mtume “Raa inaa” (Yaani kuwa ukituchunga kama MCHUNGAJI mzuri anavyochunga wanyama wake, kwani sisi Waislamu ni wajinga, hatujui la madhara wala la maslaha)….
HAYA WAISLAM, TUMESHA SOMA AYA HAPO JUU KUWA MUHAMMAD NI MCHUNGAJI WA WAISLAM.
Lakini nilipo kuwa kwenye mhadhara na Waislam, niliambiwa kuwa mimi Mkristu nafuata Mbwa. Eti, Wachungaji wote ni Mbwa na wakanipa uthibitisho kutoka Isaya 56 aya ya 10 na 11.
Isaya 56: 10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia HAWANA MAARIFA; wote ni MBWA walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi. 11 Naam, mbwa hao WANA CHOYO sana, HAWASHIBI kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande, wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote
Tumemuona MCHUNGAJI Muhammad katika Suratul Al Baqara aya 104 nawe Muislam unasema kuwa kila Mchungaji ni Mbwa kutokana na Isaya 56 aya 10 na 11, Sasa unakubali kuwa Muhammad ni Mbwa?
NGOJA NIWAKUMBUSHE WAISLAM
Nyie si mnasema kuwa kila mchungaji ni Mbwa, Tafsiri ya Sheikh Abdulla Saleh Farsy ya Suratul Al Baqara aya 104 inasema kuwa Muhammad ni MCHUNGAJI kama tulivyo soma hapo juu. Je, sasa utaendelea kukiri kuwa WACHUNGAJI wote ni Mbwa? Je, sasa unakiri kuwa Muhamamd ni Mchungaji na ni Mbwa kama unavyo waita Wachungaji?
Zaidi ya hapo, katika Isaya hiyo hiyo, imeweka sifa za Mchungaji ambaye ni Mbwa. Ngoja niziweke kwa wale ambao hawakuziona walipo soma hiyo ISAYA 56:10-11
SIFA ZA MCHUNGAJI MBWA HIZI HAPA:
1. Hawana Maarifa (Hawafahamu neno)
2. Wana Choyo sana.
3. Hawashibi
Hizi SIFA zinamwangukia Muhammad mmoja kwa moja, maana maandiko yaapo yanaoa thibitisha hayo.
JE, MUHAMMAD ANAZO HIZI SIFA ZA MCHUNGAJI MBWA?
Muhammad ni Mchungaji, sasa tumtazame kama sifa hizo tatu, kama anazo au hana, Tusome Quran 7:157
SIFA YA KWANZA YA MCHYNGAJI MBWA: "Hawana maarifa"
157. Ambao kwamba wanamfuata Mtume, Nabii, asiyejua kusoma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa
Kwa mujibu andiko hili Muhammad, hana maarifa ya kusoma na kuandika, hiyo ni sifa moja ya Mchungaji Mbwa, kwa kuwa Sifa ya Mchungaji mbwa, ni kutokuwa na maarifa na kutolifahamu neno, na Muhammad ni Mchungaji, ambae hajui kusoma neno wala kuliandika, neno, huyo atakuwa nani?
SIFA YA PILI YA MCHUNGAJI MBWA "Wana choyo sana"
Sifa ya pili, mchoyo, Ikasomwa Quran 33:55
53. Enyi mlio amini! Msiingie nyumba za Nabii ila mpewe ruhusa kwenda kula, sio kungojea kiwive. Lakini mtakapo itwa basi ingieni, na mkisha kula tawanyikeni, wala msiweke mazungumzo. Hakika hayo yanamuudhi Nabii naye anakustahini, lakini Mwenyezi Mungu hastahi kwa jambo la haki. Na mnapo wauliza wakeze haja waulizeni nyuma ya mapazia. Hivyo ndio usafi zaidi kwa nyoyo zenu na nyoyo zao. Wala haikufalieni kumuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu, wala kuwaoa wake zake baada yake kabisa. Hakika jambo hilo ni kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu
Hapa Muhammad ameonyesha uchoyo wa hali ya juu, kwa kuwataka Waislamu wenye njaa wasiende kwake, kupiga stori, ili chakula kiive, bali mpaka watakapopewa ruhusa, ina maana kama asipokuitwa nawe una njaa, basi huna ruhusa ya kula, na jambo la kukaa kusubiri Chakula kiive, ni jambo ambalo, linamkwaza Muhammad, kwa sifa hii ya Uchoyo, atakuwa nani?
SIFA YA TATU YA MCHUNGAJI MBWA "Hawashibi"
Kitabu cha Historia ya Mtume Muhammad kilichoandikwa na Mohammed RIDAY wa Mombasa Kenya, Uk wa 176, Paragraph ya 5 Kinasema,
“Mtume Muhammad alikuwa hali chakula, mpaka ashikwe na Njaa, na akila hashibi…..”
Kwa kuwa sifa ya ya tatu ya Mchungaji mbwa, ni kutokushiba, na Muhammad tumeambiwa alikuwa akila hashibi, kwa mujibu wa andiko hilo atakuwa nani?
Waislam msikilizeni Mchungaji huyu hapa. Yohana 10:11 Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Ndugu msomaji, nategemea sasa unafahamu kuwa Muhammad ni Chungaji ingawa hii ni siri kubwa sana kwa Waislam. SASA MUISLAM ANAPO SEMA WACHUNGAJI NI MBWA, BASI MPE HII MADA NA ASOME MWENYE KUWA HATA MUHAMMAD ALIKUWA MCHUNGAJI NA HIVYO BASI SIFA YA UMBWA NI YAKE.
Mimi nawaonea huruma sana Waislam wanao mfuata Mchungaji Muhammad.
Leo namaliza kwa kusema kuwa Muhammad ni Mchungaji na amefanikiwa kunyakua sifa ya Isaya 56 aya 10-11 kuwa Wachungaji ni Mbwa.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW