Friday, July 14, 2017

YESU KRISTO NI MUNGU MWENYE NGUVU

Image may contain: text


Isaya 9: 6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Biblia hakika imekamilika na haina shaka ndani yake. Imemtabiri Yesu miaka 520 KABLA YA KUJA DUNIANI.
Biblia haibabaishi wala kosea na ndio maana Mitume wake waliotumwa na Yesu mwenyewe waliweza kumtabiri mapema kabla ya kuja kwakwe.
Barikiwa sana na endelea kumfuata Yesu Kristo ambaye ni MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE NA MFALME WA AMANI.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW