Friday, July 14, 2017

AOMBA TALAKA BAADA YA MKEWE KUPIKA NYAMA YA NGURUWE

Image may contain: one or more people and text


Mahakama ya Idi-Ogungun huko Agodi, Ijumaa iliyopita ilivunja ndoa ya miaka 16 baada mke wa mwana mitindo Kolawole Adegoke kupika nyama ya Nguruwe na kuumpa mama mkwe wake.
Adeyinke ambaye ni mtuhumiwa na aliye pewa talaka, inadaiwa alipika kwa makusudi nyama hiyo ya Nguruwe na kumpa mama mkwe wake ambaye ni Muislam.
Mtuhumu bwana Kolawole Adegoke alidai kuwa, mke wake amekuwa hamtii na alifanya hivyo kwa makusudi na kuomba Mahakama ivunje ndoa yake.
Kwa habari kamili ya nini kilitokea soma hapa

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW