Friday, July 14, 2017

BWANA EMMANUEL YOHANA NA MKEWE KATHERINE EMMANUEL WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUPIKA WAKATI WA MFUNGO WA RAMADHAN, ZANZIBAR

Image may contain: one or more people and outdoor



Kikundi cha misaada cha Kikristo kimefahamishwa kuwa, Watanzania Watatu waishio Zanzibar wamekamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa kupika chakula na kula wakati wa mfungo wa Ramadhan.
Christian Solidarity Worldwide (CSW) imesema Emmanuel Yohana, na mkewe Katherine Emmanuel na mwanamke mwingine aliye julikana kwa jina moja la Khadija, walikamatwa Juni 16, 2017 wakiwa nyumbani kwao Zanzibar wakati wanawake hao wakikaanga Samaki.
Kutokana na CSW, Wakristo hao waliambiwa kuwa, wamevunja Sheria za Nchi kwa kupika na kula mchana wakati wa mfungo wa Mwezi wa Ramadhani.
Baada ya Kanisa lao kufahamu hivyo, waliwasiliana na vitengo maalumu na kupinga tuhuma hiza, kwasababu Zanzibar si nchi ya Kiislam na Wakristo wana haki ya kula mchana.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW