Friday, July 14, 2017

MUISLAM WA BANGLADESHI AMZIBA MACHO NA MDOMO MKE WAKE, HALAFU AMKATA VIDOLE VYAKE ILI ASIENDELEE KUSOMA SHAHADA YA CHUO KIKUU

Image may contain: 1 person, text

Rafiqul Islam, 30, alimziba macho mke wake Hawa Akhter, 21 na kuziba mdomo wake kwa "tape" huku akimwambia alikuwa anataka kumshangaza kwa zawadi nzuri. Lakini baadae alimwambia anyooshe vidole vyake na kuvikata vyote vitano. Baada ay kuvikata vidole vyake, akavitupa vidole vyote kwenye pipa la takataka na kuhakikisha kuwa Madaktari hawata vipata na kujaribu kuvirudisha.
Hii tabia imekuwa kubwa katika Uislam inayo wakataza wanawake kwenda shule na kusoma masomo ambayo si ya kidini.
Kwa habari kamili ingia hapa.

No comments:

Bible vs. Quran: The Pathways of Blessing and Bondage

Bible vs. Quran: The Pathways of Blessing and Bondage By Dr. Maxwell Shimba | Shimba Theological Institute When it comes to charting a pa...

TRENDING NOW